Ijumaa, 4 Aprili 2014

Naibu Waziri wa Sheria na Katiba, Bi. Angellah Kairuki azindua rasmi kampeni ya "Care For Me!"

Naibu Waziri wa Sheria na Katiba, Bi. Angellah Kairuki akitia saini sehemu maalumu kutoa ujumbe wake mara baada ya kufanya uzinduzi rasmi wa kampeni za 'Care For Me!' katika Kijiji cha SOS kilichopo jijini Dar es Salaam jana 7/2/2013.