Participants from different SOS facility meet in Zanzibar to discuss and prepare for up coming CARE FOR ME Campaign and Youth forum
Haikuwa vyema bila kutembelea eneo la tukio ambapo Kampeni ya CARE for ME itafanyika, Wawakilishi waliwasili Wilaya ya Kusini Magharibi na kupata wasaa wa kujadili na Mashea wa Vitongoji mbalimbali vya Wilaya ya Kusini Ungunja
Mwenyekiti wa Maandilizi kutoka Arusha (Paulo Hella) akifafanua baadhi ya mambo kwa Mashea wa Vitongoji vya wilaya ya Kusini Magharibu
Wawakilishi wa SOS na Mashea wakifualia Mkutano kwa makini
Hatimaje Mkutano uliisha na kuanza safari ya kurudi Unguja
ndugu wana sos wenzangu huu ni mwanzo nzuri kumbe tukiamua TUNAWEZZZZZZZZZAAAAA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
JibuFuta